Hii hali sasa imekua tete, kama mnakumbuka wiki tatu zilizopita
tuliwaletea habari ya mwanga aliyekamatwa huko arusha akiwa anawanga
kwenye nyumba ya mtu akiwa uchi, sasa hivi hii imetokea huko shinyanga.
Bibi huyu alikamatwa baada ya kudondoka na ungo wake aliokuwa
akisafiria, bado haijajulikana alikuwa anaelekea wapi......Duuh!!!
Post a Comment