CHID BENZ AMPIGA NGWEA NJE YA CLUB SOMA STORY HAPA
Written By shebby on Monday, March 25, 2013 | 9:14 AM
Rapper Chidi Benz, amempiga Cow Bama a,k,a Ngwea nje ya Ambassador Lounge
ikiyoko Mkapa tower, posta, usiku wa kuamkia leo.ugomvi huo ulitokea baada
ya Chidi kumzingua Dully alipokua akiingia, ambapo mwisho wake aliamua
kuondoka.
Alipoondoka Dully Ngwea akamuuliza inakuaje unamzingua kubwa lao, ndipo
Chidi alipopaniki na kuanza kutoa lugha chafu huku akitaka kutokumsikiliza
Ngwea, inasemekana Ngwea aliamua kukaa kimya lakini Chidi aliendelea kungea
kwa hasaira na kusema "ndio nimemzingua kwani yeye nani" na kumbadilikia
Ngwea ambae pia aliamua kuachana nae na kurudi ndani kwenye
Labels:
burudani
Post a Comment