mzungu na watuhumiwa wenzake wakiwa mahakamani |
Habari bongoclantz.com ilizozipata kutoka vyanzo mbalimbali ni kua mzungu huyo alikua akiwalipa wakina dada hao kiasi cha sh 3000 za kenya ili kufanya mapenzi na mbwa huyo huku wakichukuliwa video.
hii ni picha ya mtuhumiwa akiwa nchini kwao |
Inadaiwa kwamba siku za hivi karibuni kumekua na utitiri wa raia wa kigeni kuingia nchini kenya na kutafuta wadada hasa wanafunzi wa kufanya na ngono na hat kuwafanyisha ngono na mbwa kama ilivyotokea katika tukio hili. Baada ya polisi kuwafatilia kwa mda mrefu hatimaye siku ya siku ikafika na hatimaye kuwakamata wadada 10 na mwanaume huyo wakiwa katika nyumba moja huko kenya katika lilitokea katika mtaa wa kifahari wa Nyali, jijini Mombasakenya.
Baada ya kuwakamata taratibu za kuwakamata wahalifu hao na hatimaye kufikishwa mahakamani na hatimaye mwendesha mashtaka kuomba aongezewe mda wa kufanya uchunguzi zaidi kwa ajili ya kesi hiyo. Unaweza kucheki video wakati watuhumiwa hao wakifikishwa mahakamani hapa chni
Post a Comment