MORINYO AKIMBIA WAANDISAHI WA HABARI
Written By shebby on Friday, May 17, 2013 | 8:33 AM
Jose Mourinho hakutokea kwenye mkutano wa waandishi wa habari siku moja kabla ya mchezo wa fainali wa Copa del Rey baina ya Real Madrid na Atletico Madrid,
hivyo Sergio Ramos aliachwa kujibu maswali ya waandishi mwenyewe.
Mwandishi mmoja wa kibrazil hakuridhishwa na suala la Mourinho kutotokea
hivyo akaamua kuonyesha hasira zake kwa kuchana chana picha ya
Mourinho.
Post a Comment